Shule

 "Shule"

Asubuhi kumekuja kwetu;

Wanagenzi kupiga guu.

Hadi lango la shule.


Mama na baba kwaheri,

Sasa ni wajibu wangu.

Kitabu na kalamu.


Ala zangu kukomboa familia;

Kwaheri nyote.

Tuonane jioni mwalimu.


Anatamani mwanafunzi;

Tajiri anakutaka baba.

Shamba na nyumba kwa nyoka.


Mama kwaheri kwaheri;

Yangu tamati.

Ndugu na kaka kwaheri.


Mwandishi Alberto Nyangaresi 

Taifa Kenya 🇰🇪 

Tarehe 02/06/025

Comments

Popular posts from this blog

Sunrise

Beautiful

God as the best poet