Dunia

 "Dunia"

Ni lipi kwako ? Mawazo yanizonga.

Hari sio hari tena. 

Manani wangu uuuu! Wapi ?

Dunia nipe sikio.


Mapenzi sio raha tena! Maji mafuta;

Wapenzi nipe nakara.

Wazee sioni mwanga kwangu.

Dunia nipe sikio.


Eeeeh yesu wangu,mwanga agu;

Nipe tumaini...moyo wapendo.

Zote nishapiga, nipe moyo...

Dunia nipe sikio.


Kituo napiga guu, kwangu ghulamu,

Manani nibariki, niwe mwanga,

Kushoto na kulia sina la kwamba,

Dunia nipe sikio.


Mwandishi: Alberto Nyangaresi 

Tarehe: 12/06/025

Taifa: Kenya 

Comments

Popular posts from this blog

Sunrise

Beautiful

God as the best poet